Tuesday, August 12, 2008

Watoto shuleni


Maisha ya skuli si mchezo kuna milima na mabonde, kuna miteremko vile vile hebu cheki hivi vijamaa vimejificha sijui vinaogopa nini, bila shaka vimetoroka kabla ya kuruhusiwa na mwalimu

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

labda hawajafanya homework na wanaogopa viboko si unajua tena.

SERIKALI YATOA MFUMO WA RAMANI KUONESHA MAENEO YENYE VIASHIRIA VYA MAJANGA

Mikakati yawekwa kuendelea kukabili Maafa nchini Na.Mwandishi Wetu - Dar es Salaam Serikali imeandaa mfumo wenye ramani inayoonesha maeneo y...