Friday, August 22, 2008

Mtoto wa Rais Kikwete Afunga Ndoa


Rais Jakaya Kikwete akimuaga mkwewe Bi.Arafa Mohamed pamoja na mtoto wake Ridhwani Kikwete muda mfupi baada ya mtoto wake kufunga ndoa na Bi Arafa katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo majira ya alasiri kuelekea Magharibi.

Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhwani Kikwete(Kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na Mkewe Bi Arafa Muda mfupi baada ya Ridhwani kufunga ndoa katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo hii Majira ya alasiri Kuelekea Magharibi.

No comments:

SERIKALI YA ZANZIBAR YAIPONGEZA TANAPA KWA KUKUZA USHIRIKIANO NA KUBORESHA UTALII

Na. Mwandishi wetu - Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imeipongeza TANAPA kwa ushirikian...