Sunday, August 03, 2008

Nasreem Karim Miss Vodacom


Miss Vodacom Tanzania 2008 Nasreem Karim akifurahia ushindi na mshindi wa pili Sylvia Mashuda (shoto) na wa Tatu Pendo Laizer muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Taji hilo kwa Mwaka huu.

Hawa jamaa Wazee wa Ngwasuma wakisakata rhumba



Braza Chammeleone naye alikuwapo


Hawa hapa wakaingia Top Five

Twanga nao walikuwapo

Hebu cheki walivyopendeza




No comments:

SERIKALI YA ZANZIBAR YAIPONGEZA TANAPA KWA KUKUZA USHIRIKIANO NA KUBORESHA UTALII

Na. Mwandishi wetu - Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imeipongeza TANAPA kwa ushirikian...