Kauli hiyo ya Ndugu Abdulrahman Kinana imekuja baada ya wananchi kuonyesha waziwazi kutokubali utendaji kazi wa mbunge huyo ambaye aliwekwa kitimoto na wananchi hao, wakisema amekuwa akipiga porojo tu badala ya kutatua matatizo yanayowakabili huku wakitolea mfano wa zahahati ya kata hiyo ambayo haina Jokofu la kuhifadhia dawa kwa zaidi ya miaka mitano sasa, jambo ambalo linawafanya akina mama wajawazito pamoja na wagonjwa wengine kupata adha kubwa kutokana na kukosa dawa katika zahanati hiyo, Wananchi hao wameongeza kuwa mara baada ya kuchaguliwa mbunge huyo aliwaahidi kuleta mnara wa mawasiliano wa simu za mkononi kwa muda wa siku 100 jambo ambalo halijatekelezwa mpaka sasa.Hata hivyo Katibu Mkuu Kinana ameahidi kuwanunulia jokofu hilo wananchi wa kata ya Loya ili kuondokana na adha hiyo (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-UYUI-TABORA)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendelea kuwahutubia wananchi.
Tuesday, May 13, 2014
WANANCHI WA JIMBO LA IGALULA WAMNING’NIZA MFUTAKAMBA MBELE YA KINANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA
Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...
.jpeg)
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment