Kiongozi Mtukufu Aga Khan ambaye ndiye
Mwenyekiti wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Kiongozi wa
Waislamu wa Ismailia akizungumza mawili matatu ya kimaendeleo na Mbunge
wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mh. Shy-Rose Bhanji wakati
wa ufunguzi wa Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mkoni Arusha.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Kidiplomasia ya AKDN Dkt.
Shafik Sachedina. ( Picha zote kwa Hisani ya Ikulu).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slovakia Yafungua Ubalozi Tanzania
Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment