Thursday, March 26, 2009

mgawo wa umeme huooooo



HAKIKA hawa jamaa wanataka kutuchezea kupita kiasi eti wameanza mchezo wa kukatakata umeme na hili shirika letu la Umeme Tanzania (Tanesco) wanadai kutakuwa na mgawo wa dharura wa umeme kwa jiji la Dar es Salaam kwa saa nane (8) zenye mahitaji makubwa ya umeme kila siku, kutokana na kile walichosema ni kukosa huduma ya mitambo miwili ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Songas. hali hii inajitokeza katikati ya mjadala wa ununuzi wa mitambo ya Dowans na huku ikiwapo kauli ya Tanesco "tukiingia gizani tusilaumiwe" Ukitaka mambo makubwa zaidi kuhusu hii hebubonya hapa na hapa

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...