Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM mjini Dodoma leo jioni.Kutoka kushoto ni Rais Mstaafu awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Amaan Abeid Karume,Katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba,Mamakmu mwenyekiti Bara Pius Msekwa na Mzee Rashid Mfaume Kawawa(picha na Freddy Maro).
Friday, March 06, 2009
Kikao Kamati Kuu CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM mjini Dodoma leo jioni.Kutoka kushoto ni Rais Mstaafu awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Amaan Abeid Karume,Katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba,Mamakmu mwenyekiti Bara Pius Msekwa na Mzee Rashid Mfaume Kawawa(picha na Freddy Maro).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment