
π’ Kikao cha Maandalizi cha Uwasilishaji wa Hati ya Utambulisho!
Mhe. Balozi Mteule wa Tanzania, CP Hamad Khamis Hamad, leo ameandala kikao muhimu na Naibu Mkuu wa Itifaki wa Jamhuri ya Msumbiji, ikielekea kwenye tukio la uwasilishaji rasmi wa Hati ya Utambulisho kwa Mhe. Rais Daniel Chapo wa Msumbiji.
πΉ Lengo: Kuboresha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Msumbiji.
πΉ Maelekezo: Kufanya maandalizi makini ya mazungumzo na sherehe zitakazofuata.
π
Tunatarajia:
• Uwasilishaji wa Hati kwa Mhe. Rais Chapo hivi karibuni.
• Kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kisiasa kati ya nchi hizi.
No comments:
Post a Comment