Friday, September 29, 2017

ZIARA YA MJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI WA NHC KATIKA JENGO LA UBIA -MWANZA



Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Injini Kesogukewele Msita akijadiliana jambo na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Injinia Benedict Kilimba alipokuwa akikagua Jengo la ubia katika kiwanja Na 94/S Mtaa wa Nyerere jijini Mwanza linavyoonekana. Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.
 Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Injini Kesogukewele Msita akijadiliana jambo na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Injinia Benedict Kilimba alipokuwa akikagua Jengo la ubia katika kiwanja Na 94/S Mtaa wa Nyerere jijini Mwanza linavyoonekana. Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.
Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.

Injinia Msita akipokea maelezo kutoka kwa Mbia aliyejenga jengo hilo Mr .Seif ndani ya duka lake linalouza vifaa vya ujenzi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...