Monday, September 25, 2017

Wasanii wa Tigo Fiesta watembelea shule ya sekondari Nganza jijini Mwanza na kutoa elimu ya kujitambua


Msanii Ommy Dimpoz akipamtia zawadi ya pesa taslimu ya shilingi 50,000/-mwanafunzi bora wa kidato cha sita wa shule ya sekondari Nganza jijini Mwanza, Glory Wilfred wakati wasanii wa Tigo Fiesta walipotembelea shule hiyo juzi kwenye programu ya kuelimisha wanafunzi msimu huu wa Tigo Fiesta ijulikanayo kama ‘Kipepeo’.
Msanii Alli Kiba akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Nganza iliyopo Mwanza juzi kwenye programu ya kuelimisha wanafunzi msimu huu wa Tigo Fiesta ijulikanayo kama ‘Kipepeo’.
Wasanii wakiwa wamesimama kusali pamoja na wanafunzi wa shule ya Nganza, maombi yaliyoombwa na mmoja kati ya wanafunzi wa shule hiyo(hayupo pichani). 
Msanii Alli Kiba akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Nganza iliyopo Mwanza juzi kwenye programu ya kuelimisha wanafunzi msimu huu wa Tigo Fiesta ijulikanayo kama ‘Kipepeo’. 
Msanii Ray Vanny akisalimiana na wanafunzi wa shule ya sekondari Nganza jijini Mwanza mara baada ya kumaliza programu ya Kipepeo. 
Msanii Roma Mkatoliki akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Nganza iliyopo Mwanza juzi kwenye programu ya kuelimisha wanafunzi msimu huu wa Tigo Fiesta ijulikanayo kama ‘Kipepeo’. 

Msanii Saida Karoli akiwapungia mikono kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nganza . 
Msanii Ray Vanny akipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari Nganza .

Sehemu ya wanafunzi wakifuatilia progamu ya Kipepeo. 

Wasanii wakiwa wamesimama kusali pamoja na wanafunzi wa shule ya Nganza, maombi yaliyoombwa na mmoja kati ya wanafunzi wa shule hiyo(hayupo pichani) 
Wasanii wakiondoka mara ya kumaliza programu yao ya kuelimisha wanafunzi jinsi ya kujitambua maishani , wakati wa shule na baada ya shule.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...