Friday, December 20, 2024

WADAU MBALIMBALI WAJUMUIKA PAMOJA KATIKA UZINDUZI WA TUZO ZA UTALII NA UHIFADHI MAUNT MERU ARUSHA

 

Wageni mbalimbali tayari wamewasili katika Hoteli ya Mt. Meru Arusha kushuhudia tukio la kihistoria la Uzinduzi wa Tuzo za Uhifadhi na Utalii leo Disemba 20, 2024.

Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.










 

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...