Wednesday, March 23, 2016

WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza mambo makuu manne yakiwamo kutopandisha kodi ya nyumba za Shirika bila idhini yake, kutoendelea na miradi mikubwa ya biashara mpaka ile iliyoanza ikamilike, kutotekeleza muundo mpya wa Menejimenti na kuagiza kujenga nyumba 50,000 za gharama nafuu.


  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza mambo makuu manne yakiwamo kutopandisha kodi ya nyumba za Shirika bila idhini yake, kutoendelea na miradi mikubwa ya biashara mpaka ile iliyoanza ikamilike, kutotekeleza muundo mpya wa Menejimenti na kuagiza kujenga nyumba 50,000 za gharama nafuu.

No comments:

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...