Monday, September 09, 2013

Ona Jinsi Majeshi ya MONUSCO Yanayoongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)Yalivyochakaza Ngome ya Kikundi cha Waasi cha M23


Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi 
wa Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye  Mapigano ndani ya Kibati
Kazi ni moja tu, nayo ni Kongo kuwa huru, vijana shupavu wanawajibika 
pichani ni Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi wa 
Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye  Mapigano
Majeshi ya MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la 
Wananchi wa Tanzania(JWTZ),yakidhibiti eneo la Kibati ilipokuwa 
ngome ya M23.Picha Zote na Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa 
Tanzania(JWTZ)-Upanga

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...