Friday, May 30, 2008

Wanamuziki wa Marekani ndani ya Bongo





Wanamuziki wa Jazz kutoka Marekani AMP Fiddler na N'dambi Blue waliopo nchini wakiwa katika pozi mbalimbali mara baada ya kuwasili nchini kufanya maonyesho kadhaa kwa udhamini wa Zantel, e bwanaa wako makini hawa si mchezo ndugu. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...