Friday, May 09, 2008

ATC anga kwa anga, ndege kwa ndege


Cheki muonekano mwanana wa kadege ka shirika letu la ATC, kanabeba watu kama 170 hivi ni matata kweli kwa kiwango cha bongo, lakini kwa wenzetu ni sawa na kadege kwa kwenda kununulia nyanya, angalau na sisi tunajitahidi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...