Wednesday, May 28, 2008

Usafiri wa bongo balaa

Abiria waendao maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam, kutoka Posta Mpya, wakipanda gari kupitia mlango wa nyuma na wale wanaoshuka kutumia mlango wa kawaida kutokana na shida ya magari yaendayo maeneo hayo nyakati za mchana jana. Picha ya Kassim Mbarouk.

No comments:

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...