Thursday, May 01, 2008

Mei Mosi



Wafanyakazi wa Veta Mikumi wakionyesha ujumbe kwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Saidi Mwambungu unaosomeka
Ajira bora, maisha bora, uchumi imara na maendeleo inawezekana bila ufisadi wakati wa kilele cha siku ya wafanyakazi Mei Mosi katika uwanja wa Jamhuri Morogoro Picha na Juma Ahmadi, Morogoro

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...