Friday, May 30, 2008

AICC SULLIVAN


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo mafupi kutoka kwa Mkurugenzi
Mwendeshaji wa AICC, Elishilia Kaaya (kulia) jana Arusha alipotembea
kujionea ukumbi utakaofanyika mkutano wa Sullivan kuanzia Jumatatu.
Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Isidory Shirima. Picha na Edwin
Mjwahuzi

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...