Thursday, May 29, 2008

TATIZO LA USAFIRI


KWELI MAISHA NI SAFARI NDEFU, WATOTO HAWAWAPO NJIANI KATIKA SAFARI YA MAISHA WAKITAFUTA ELIMU, USAFIRI TATIZO, WANAKAA VITUONI MASAA MENGI, WAKIFIKA SHULENI WAMECHOKA NA WANAPOREJEA NYUMBANI MAMBO NI YALE YALE, HIVI TATIZO HILI LA USAFIRI LITAISHA LINI???

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...