Friday, May 09, 2008

Siku Serengeti walipopongezwa kwa ushindi




Wachhezaji wa timu ya taifa Stars wakijiburudisha na muziki ulokuwa ukiporomoshwa na bendi ya Kalunde band ya deo mwanambilimbi usiku wa jana kwenye hafla iliyoandakiwa na serengeti breweries ya kuwapongeza taifa staaz kwa kuifunga Uganda Cranes na kuwapa moyo kwa mchezo wa marudiano jijini Kampala wiki ijayo. Serengeti Breweries ilitoa dola 100 kwa kila mchezaji na dola 150 kwa kila kiongozi wa timu hiyo kwa kuifunga Uganda Cranes. Picha ya Mdau Deus Mhagale

1 comment:

Anonymous said...

What a nice girl!

^_^

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...