Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwakilishi wa ANC ya Afirka ya kusini Jackob Zuma katika mkutano mkuu wa 8 wa CCM uliofanyika huko Kizota mjini Dodoma leo. Mkutano Mkuu wa CCM, unafanyika mjini Dodoma kuanzia Jleo na kesho, kesho ndo unafanyika uchaguzi mkuu ndani ya chama. Picha za Ikulu
Saturday, November 03, 2007
Mambo ya Dodoma
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwakilishi wa ANC ya Afirka ya kusini Jackob Zuma katika mkutano mkuu wa 8 wa CCM uliofanyika huko Kizota mjini Dodoma leo. Mkutano Mkuu wa CCM, unafanyika mjini Dodoma kuanzia Jleo na kesho, kesho ndo unafanyika uchaguzi mkuu ndani ya chama. Picha za Ikulu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TRC KUONGEZA SAFARI ZA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA 🚆🇹🇿
Habari njema kwa wasafiri! Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni ya SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma kua...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment