Tuesday, November 06, 2007

Kazi imekwisha wajumbe safarini



Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM wakijiandaa kukwea gogo ili kurejea makwao, wengine waliondoka jana na wengine wataondoka leo jioni kwa usafiri wa aina mbalimbali, kila la kheri wajumbe wa CCM.

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...