Friday, November 09, 2007

King Kikiii akiwa na Hussein Jumbe

Hawa jamaa sijui kama kuna asiyewajua ndiyo magwiji wa muziki wa dansi, hivi sasa Hussein yuko huko Mikumi Sound na dingi anadunda town mambo mpwitompwito muziki wa dansi oyyeeeeee!!!!!

No comments:

Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)

  Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...