Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.
Thursday, November 29, 2007
Shule ni nini????
Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA NA SWEDEN ZAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA BIASHARA, NISHATI NA MAENDELEO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uf...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
Mi ningeanzia hapa: Hivi bila majengo yanayoitwa shule, hatuwezi kuelimika?
相当不错的职位。我只是偶然发现您的博客和想说的话,我很喜欢浏览你的博客帖子。在任何情况下,我会订阅你的饲料,我希望你写的再次光临!.
Post a Comment