Monday, August 21, 2017

POLEPOLE AKUTANA NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Masaidizi wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Petro Magoti akimpokea Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, alipowasili ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Katibu wa NEC, Itikadi na Uwenezi, Humphrey Polepole, leo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...