Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi (kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la wazi la ufukwe wa Bahari eneo la Masaki wakati wa ziara ya kutembelea wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. katikati ni Afisa mipango miji, Lucy Kimon (katikati) akifuatiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Baraza la uifadhi na usimamizi wa Mazingira-NEMC, Bonaventure Baya. Picha na Venance Nestory
Thursday, February 11, 2010
Ufukwe wa bahari Masaki wauzwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi (kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la wazi la ufukwe wa Bahari eneo la Masaki wakati wa ziara ya kutembelea wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. katikati ni Afisa mipango miji, Lucy Kimon (katikati) akifuatiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Baraza la uifadhi na usimamizi wa Mazingira-NEMC, Bonaventure Baya. Picha na Venance Nestory
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment