Thursday, June 26, 2008

Picha mpya ya Rais


Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Kassim Mpenda, akiwanyesha jana waandishi wa habari picha mpya ya Rais iliyopo kushoto itakayotumika rasmi kitaifa na kulia ni ya zamani ambayo haitatumika tena.

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...