Huu ndo mwonekano mpya wa Hoteli ya Holiday Inn pale karibu na International house nadhani sasa unaweza kuona jina hilo jipya ikimaanisha jua la kusi. Picha hii ni ya mdau Fedelis Felix aliyoinasa juzi wakati wakiizindua upya, sijui ni mtindo ule ule wa ukwepaji kodi au ni mambo ya product development.
Sunday, June 01, 2008
Holiday Inn Hotel
Huu ndo mwonekano mpya wa Hoteli ya Holiday Inn pale karibu na International house nadhani sasa unaweza kuona jina hilo jipya ikimaanisha jua la kusi. Picha hii ni ya mdau Fedelis Felix aliyoinasa juzi wakati wakiizindua upya, sijui ni mtindo ule ule wa ukwepaji kodi au ni mambo ya product development.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment