Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa katika hatua
mbalimbali za ujenzi, yatakapokamilika yatakaliwa na familia 48, ambapo
katika kila nyumba ina vyumba vitatu jiko na choo pamoja na parking ya
kutosha. Majengo hayo yote yamenunuliwa na Watanzania wanaosubiri muda wa mwezi mmoja ama miwili kukabidhiwa funguo zao ili waingie ndani.
No comments:
Post a Comment