Questionable Foundation.
Hivi ndivyo palivyo palipokuwa eneo lililoporomoka jengo la ghorofa 16 eneo la City Centre mtaa wa Indira Gandhi kifusi kimeondolewa na maiti zimeondolewa Mungu awarehemu mafundi, watoto, vibarua na wapita njia walioangamia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
No comments:
Post a Comment