Monday, August 15, 2011

Watoto yatima wa Don Bosco Kimara Suka wapata boost


Wafanyakazi wa kitengo cha fedha ya benki ya Stanbic wakicheza ngoma ya mduara na watoto yatima wa Don Bosco Kimara Suka wakati wa hafla fupi ambapo wafanyikazi hao walitoa msaada wenye thamani ya wa Tsh milioni 2 wa fedha na vyakula mbali mbali.

Wafanyakazi wa Kitengo cha Fedha cha Benki ya Stanbic, wakiongozwa na Mkuu wa kitengo hicho Lydia Kukugonza (wa mwisho kulia) wakipiga picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha Don Bosco kilichopo Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Wafanyakazi hao walitoa msaada wa vyakula, vitu mbali mbali na fedha taslim vyenye thamani ya Tshs milioni 2 kwa kituo hicho.

Mkuu wa kitengo cha Fedha benki ya Stanbic, Lydia Kokugonza (mwisho kulia) akikabidhi hundi ya kwa Bw. Moses Ngenzi, Afisa ya elimu nyumba ya watoto yatima ya Don Bosco iliyo Kimara Suka. Benki ya Stanbic ilota msaada wenye thamani ya Tsh milioni 2 wa fedha na vyakula mbali mbali

Wafanyakazi wa kitengo cha fedha benki ya Stanbic, wakikabidhi msaada wa vyakula mbali mballi kwa viongozi wa nyumba ya watoto yatima ya Don Bosco Kimara Suka. Benki ya Stanbic wenye thamani ya milioni 2 wa fedha and vyakula mbali mbali. Picha kwa hisani ya Stanbic.

No comments: