Wednesday, August 10, 2011

Shida kubwa ya maji


Mkazi wa Migoli, Wilayani Iringa akitoka kuchota maji katika bwawa la Mtera. Maji hayo huuzwa ndoo sh 500 kutokana na uhaba wa maji unaokikabili kijiji cha Kigoli. Picha na Tumaini Msowoya.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...