Sunday, August 07, 2011

Maonyesho ya Nane nane Moro



Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia ndege aina ya mbuni katika banda la Halmashauri ya mji mdogo wa Kibaha katika maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Nanenane ambayo yanafikia kilele chake leo mkoani hapa. Picha za Juma Mtanda

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...