

Hebu ndugu msomaji nieleze hii ni sehemu gani ya jiji hili la dar es Salaam , mambo yanabadilika kila kukicha majengo yanaota kama uyoga, ingawa watu wanalalamika kuwa hawana hela, lakini hela ipo nyingi na inamilikiwa na watu wachache mno.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...
No comments:
Post a Comment