

Hebu ndugu msomaji nieleze hii ni sehemu gani ya jiji hili la dar es Salaam , mambo yanabadilika kila kukicha majengo yanaota kama uyoga, ingawa watu wanalalamika kuwa hawana hela, lakini hela ipo nyingi na inamilikiwa na watu wachache mno.
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...
No comments:
Post a Comment