Monday, December 28, 2009

Mambo ya Twanga


Wanenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta International ‘Wazee Wa Kisigino’ wakitoa burudani kwa mashabiki wao wakati wa sikukuu ya Krismasi kwenye ukumbi wa Landmark hotel jijini Dar es Salaam.Picha na Silvan Kiwale

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...