Tuesday, December 22, 2009

Hoteli ya 'JK" iliyobomolewa







PICHANI WAKIONEKANA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA KITALII YA SNOWCREST YA MJINI HAPA WAKIONDOA MABAKI MARA BAADA YA KUVUNJWA KWA UZIO WA HOTELI HIYO NA WAKALA WA BARABARA(TANROADS) MKOANI HAPA,HOTELI HIYO ILIZINDULIWA NA RAIS JAKAYA KIKWETE IJUMAA WIKI ILIYOPITA(PICHA NA MOSES MASHALLA)

No comments:

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...