Sunday, December 27, 2009

Buriani mke wa Herman


Mwandishi wa Habari na Mpiga Picha wa gazeti la Citizen, Emmanuel Herman akiwa amesimama mbele ya kaburi la mke wake mpendwa Mary Hyera muda mfupi baada ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, pamoja naye ni ndugu na marafiki zake akiwamo Father Kidevu( Mrocky Mrocky) wa pili kushoto, wa kwanza kushoto ni mtoto wa Marehemu, anayyeitwa Elizabeth Emmanuel. Picha ya Zacharia Osanga.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...