Tuesday, August 25, 2009

Mashindano ya kusoma kwa kukariri Kuran


Salma Khamis (12)
Vijana mbalimbali kutoka vyuo mbalimbali vya kiislamu wakishindana kusoma kwa kukariri quran, mashindano hayo yalifanyika juzi katika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam.

Msemaji wa Kituo cha Ubalozi wa Iran, Mostafa Kanjibar, akikabidhi zawadi ya Feni kwa mshindi wa kusoma juzuu 7, Yassin Abass, yaliyofanyika katika viwanja vya mwembe Yanga, Dar es Salaam.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...