Tuesday, August 04, 2009

Bunge la Afrika Mashariki


SPIKA wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki Abdirahim Abdi akijadiliana jambo na afisa mmojawapo wa bunge hilo wakati wa kikao cha bunge la Afrika Mashariki kinachoendelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Karimjee, kikao hicho kililazimika kuahirishwa jana baada ya kukatika kwa umeme. (Picha na Jackson Odoyo)

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...