Friday, April 03, 2009

Flaviana Matata atua nchini Japan


Miss Universe Tanzania 2007 Flaviana Matata ametua nchini japan kwa mwaliko Rasmi wa Kampuni kubwa ya kuuza magari ya Wilna International akitokea nchini South Africa ambako anafanya kazi za ulimbwende.,kimwana Flaviana matata yupo hapa Japan kwa mazoezi kabla ya kusaini Mkataba wa nguvu na kampuni ya Kimataifa ya Junes Modeling Agency iliyoko Ropongi Nishi Azabu.
Kwa taarifa zaidi za kina hebu
soma hapa

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...