Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema (Katikati)
akifarijiwa na mkewe (wa kwanza kulia) na Mwenyekiti wa TLP mkoa wa
Arusha. Leonard Makanzo, kwenye Hospitali ya Rufaa ya KCMC jana (Picha na Ally
Sonda, Moshi).*
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...
1 comment:
Duh mzee anaonekana ni mgonjwa sana.
Mungu akuponye mzee.
Post a Comment