Monday, March 31, 2008

maafa mererani





Waziri wa Nishati na Madini ,William Ngeleja akizungumza na maafisa wa kampuni ya Tanzanite One, Zane Swanepoel, yaani umbali wa machimbo haya sio mkubwa nashangaa kwa nini hawajaingia kusaidia watanzania waliopata maafa mpaka wafuatwe na mawaziri. Ndio maana wanaapollo wana hasira nao sana, inabidi wabadilike vinginevyo........!!!!!!!!!

Waziri wa mambo ya Ndani, Lawrence Masha akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Tanzanite One, Zane Swaanepoel na afisa toka kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Barrick ili kuanza mikakati ya kuopolewa miili ya wachimbaji wadogo jana Mererani.

Askari wa kikosi cha FFU akiwa anawalinda wachimbaji wadogo ambao walikuwa wanazungumza na mawaziri waliotembelea Mererani kutaza maafa. Hawa jamaa kama wakiletewa ujinga hawasikii vibaya kulianzisha zali.

No comments: