Kwa hakika mnaweza kusema sasa pele limepata mkunaji, maana kaingia ndani ya nyumba mzee mwenyewe machachari, kama mnamkumbuka huyu jamaa mkongwe katika fani hii tangu enzi za Kasheshe, amekuwa akijiita Zee la Nyeti sasa kaingia kwenye kijiji chetu kwa hakika sasa waweza kumpata kupitia
hapa au unaweza kumcheki
Mdimu
No comments:
Post a Comment