Wednesday, August 01, 2007

Mama anafikiria nini?



Mwana Mama akiwa amekalia mzigo wake wa Makabichi katika kituo cha basi cha Clinic barabara la Makongoro jijini Mwanza jana. Abiria wengi wanalalamikia kutokuwepo kwa vibanda vya kupumzikia wakati wanasubili usafi na shida kubwa inakuwa kipindi cha mvua. Picha hii imepigwa na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Anonymous said...

Bwana Charahani,

Nakupongeza kwa kazi nzuri unayoifanya. Hongera sana.

Huwa napita kimya kimya. Nadhani si miye pekee yangu ninayepita kimya kimya.

Masalaamia, ni miye maridhiya,

F MtiMkubwa Tungaraza.

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...