Sunday, August 12, 2007

JIJI LA DODOMA?????












Imekuwa kama ndoto vile kila siku, wanasiasa wanadai watahamia Dodoma, wakahamishia bunge, baadhi ya wizara, miundombinu, taasisi na hali kadhalika, lakini haiwi, hebu cheki huu ni mojawapo ya ujenzi mpya unaofanywa na serikali jijini humo nyumba hizi zimetimilika na zinatarajiwa kutumika na wananchi wote. Picha hii ni ya Mpoki Bukuku

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...