Barabara ya Lindi mjini kuelekea Mtwara ikiwa katika final touches, mambo huku ni mswano, Mdau Hussein Issa alikuwako na ana habari chungu mzima mtafute.
duh!!nafurahi kuona barabara hii inafikia final touch manake!!imetuadhibu mno,naomba kuuliza,extension ya barabara hiyo kuelekea dar es salaam nayo inafikia final touch au bado miyayusho??
1 comment:
duh!!nafurahi kuona barabara hii inafikia final touch manake!!imetuadhibu mno,naomba kuuliza,extension ya barabara hiyo kuelekea dar es salaam nayo inafikia final touch au bado miyayusho??
Post a Comment