Sunday, August 26, 2007

Hivi bendera ya Taifa imekuwaje


Angalia hapo juu unambie kuna kosa gani katika bendera ya taifa

3 comments:

Anonymous said...

Charahani,
Mimi sijaona kosa.Nimeona usahihi tofauti.Labda sasa tuketi chini na kuukubali ukweli na kisha kurudisha lile wazo la nani hii ambalo alipolianzisha miaka ile tulimuona kama mwendawazimu.

Anonymous said...

mzee bendera imegeuzwa hiyo

Simon Kitururu said...

Nakubaliana na anoy kuwa bendera imegeuzwa, ila chakujiuliza ni kuwa, je imegeuzwa makusudi?

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...