Tuesday, May 25, 2010

Tume ya kurekebisha sheria


Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Fredrick Werema akikabidhiwa ripoti mbalimbali zilizofanyiwa kazi na Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo Japhet Sagasii wakati alipoitembelea tume hiyo leo, wengine ni Naibu Katibu Mtendaji (Utafiti) Adam Mambi (wa pili kulia ) na Naibu Katibu Mtendaji (Mapitio) Angela Bahati .

No comments:

MHE. NDEJEMBI AITAKA PURA KUWAJENGEA UWEZO WATANZANIA KUSHIRIKI MRADI WA LNG

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimar...