Tuesday, May 04, 2010

Tsvangirai awasili kuhudhuria mkutano wa WEF


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai akisalimiana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania Jenerali Mstaafu(RTD Gen.) Chimonyo mapema jana ( saa sita usiku) katika chumba maalum cha viongozi ( VIP)kilichoko Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai (katikati) akitoka nje ya chumba maalum cha viongozi (VIP) kilichopo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana (saa sita usiku) kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe mhe. Adadi Rajabu.

(Picha na Anna Itenda wa Maelezo )

No comments:

MHE. NDEJEMBI AITAKA PURA KUWAJENGEA UWEZO WATANZANIA KUSHIRIKI MRADI WA LNG

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimar...