Thursday, September 24, 2009

Michezo ya watoto


Michezo ya watoto bwana inashangaza, wanaweza kufanya michezo ya hatari mpaka ukashangaa, hebu angalia hawa watoto wa Dar es Salaam wanavyoogelea kwenye mto mchafu, kemikali zimemwagwa humoo hakuna usalama, lakini watoto wanajimwaga mto Msimbazi ni hatari tupu.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...